Kutoka
katika kazi mpya ya Ben Pol 'Najikubali' teaser ambayo ameitoa hii
leo, 'attention' ya watu wengi imeibuka hasa baada ya msanii huyu
kusikika amemtaja bi dada Lady Jay Dee ambaye kwa sasa asilimia kubwa
ya watu wanawachukulia kuwa wao ni mahasimu na hawaelewani.
Ben Pol ameweka wazi kuwa, Kazi hii aliirekodi kabla ya 'tiff' lake yeye na bi dada na hivyo hata baada ya mapito ameona si issue kuedit, lakini pia msanii huyu amefafanua status nzima ya mahusiano yake na Lady Jay Dee kwa sasa hasa ikizingatiwa kuwa wawili hawa walipishana maneno mtandaoni siku kadhaa zilizopita.... na hapa Ben Pol anaeleza.
Msikie Ben Pol akifafanua mahusiano yake na Jide hapa;
Ben Pol ameweka wazi kuwa, Kazi hii aliirekodi kabla ya 'tiff' lake yeye na bi dada na hivyo hata baada ya mapito ameona si issue kuedit, lakini pia msanii huyu amefafanua status nzima ya mahusiano yake na Lady Jay Dee kwa sasa hasa ikizingatiwa kuwa wawili hawa walipishana maneno mtandaoni siku kadhaa zilizopita.... na hapa Ben Pol anaeleza.
Msikie Ben Pol akifafanua mahusiano yake na Jide hapa;
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !